Tigo
  • MAKAMU WA RAIS KUONGOZA UPANDAJI MITI KESHO JIJINI DAR

    MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa upandaji miti Mkoa wa Dar es Salaam.Akizungumza leo na waandishi wa habari ofisini kwake, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema upandaji wa miti unaanza kesho hivyo kila mwananchi wa Dar es Salaam anatakiwa kupanda mti mmoja ikiwa ni kwa ajili ya ustawi wa afya.Amesema kuwa upandaji miti utafanywa katika Wilaya yaTemeke kwa kupanda miti katika barabara ya Kilwa na baada kupanda miti atakagua miundombinu ya maji kwa ajili ya kumwagilia mit.

  • You might also like